13 Wakaenda na kukuta vitu vyote sawa vile Yesu alivyowaambia. Nao wakatayarisha karamu ya Pasaka.
Basi wale waliotumwa wakaenda, wakakuta vyote kama vile Yesu alivyowaambia.
Mbingu na dunia vitatoweka, lakini maneno yangu hayatabadilika hata kidogo.
Naye atawaonyesha chumba kikubwa cha gorofi kilichokwisha kupangwa vizuri. Ni mule mutakapotayarishia karamu.”
Saa ilipotimia, Yesu akaikaa kula chakula pamoja na wanafunzi wake.
Yesu akamwambia: “Sikukuambia kwamba ukiamini utaona utukufu wa Mungu?”
Halafu mama yake akawaambia watumishi: “Mufanye kila kitu atakachowaambia.”
Kwa njia ya imani, Abrahamu alitii wakati Mungu alipomwita na kwenda katika inchi ile Mungu aliyoahidi kumupatia kuwa urizi wake. Akaacha inchi yake pasipo kujua pahali anapokwenda.