Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 22:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 mumwambie mwenye nyumba: ‘Mwalimu anakuuliza kwamba ni wapi kunapokuwa chumba cha kukulia karamu ya Pasaka pamoja na wanafunzi wake.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 22:11
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na kama mutu akiwauliza neno, mumwambie kama Bwana yuko na lazima ya kuwatumia. Na mara moja mutu yule atawaruhusu kuwapeleka.”


na pahali atakapoingia, mumwambie mwenye nyumba: ‘Mwalimu anauliza kwamba ni wapi kunapokuwa chumba chake ambamo atakulia karamu ya Pasaka pamoja na wanafunzi wake.’


Na kama mutu akiwauliza: ‘Kwa sababu gani munamufungua?’, mumwambie: ‘Bwana yuko na lazima ya kumutumia.’ ”


Wakajibu: “Bwana yuko na lazima ya kumutumia.”


Yesu alipofika kwenye nafasi ile akainua macho na kumwambia: “Zakayo, shuka mbio; kwa maana imenipasa kupanga ndani ya nyumba yako leo.”


Akawajibu: “Mutakapoingia katika muji, mutakutana mutu mumoja anayebeba mutungi wenye maji. Mumufuate mutu yule katika nyumba atakamoingia,


Naye atawaonyesha chumba kikubwa cha gorofi kilichokwisha kupangwa vizuri. Ni mule mutakapotayarishia karamu.”


Marta alipokwisha kusema maneno hayo, akaenda kumwita dada yake Maria na kumwambia kwa siri: “Mwalimu amekuja, na anakuita.”


Sikiliza, ninasimama kwenye mulango na ninapiga hodi. Kama mutu akisikia sauti yangu na kunifungulia, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye atakula pamoja nami.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ