29 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake mufano huu: “Muchunguze vizuri muti wa tini na miti yote mingine.
Akaona muti wa tini pembeni ya njia, akaenda karibu nao, lakini hakuona kitu juu yake isipokuwa majani matupu. Halafu Yesu akaulaani muti ule akisema: “Wewe usitoe tena matunda tangu leo hata milele!” Na pale pale muti ule ukakauka.
Mambo hayo yatakapoanza kutokea, muinue kichwa na kusimama na nguvu, kwa sababu wakati wa kukombolewa kwenu umekaribia.”
Munapoona kwamba majani yao yanaanza kuchipuka, munatambua wenyewe kwamba wakati wa jua kali unakaribia.