Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 21:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Mambo hayo yatakapoanza kutokea, muinue kichwa na kusimama na nguvu, kwa sababu wakati wa kukombolewa kwenu umekaribia.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 21:28
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na mule ndani mulikuwa mwanamuke mumoja mugonjwa, aliyeshikwa na pepo kwa muda wa miaka kumi na minane. Mugongo wake ulikuwa umekunjama na hakuweza kuinuka hata kidogo.


Basi, Mungu hatawapatia haki wale wachaguliwa wake wanaomulilia usiku na muchana? Au atakawia kuwasaidia?


Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake mufano huu: “Muchunguze vizuri muti wa tini na miti yote mingine.


Viumbe vyote vinangojea kwa hamu sana wakati Mungu atakapowaonyesha watoto wake waziwazi.


Na si viumbe hivi tu; hata sisi tuliokwisha kuwa na Roho wa Mungu kama sehemu ya kwanza ya zawadi Mungu atakazotoa, tunaugua vilevile ndani yetu, tukingojea kukubaliwa na Mungu kuwa watoto wake, maana yake kukombolewa kwa kimwili.


Yule Roho ni rehani ya urizi aliowawekea watu wake. Na jambo hili linahakikisha kwamba Mungu atakomboa kabisa wote wanaokuwa wake. Tumusifu kwa ajili ya utukufu wake.


Musihuzunishe Roho Mutakatifu wa Mungu; kwa maana Roho ni kitambulisho kilichowekwa juu yenu kwa kuhakikisha kwamba ninyi ni watu wake mpaka siku Mungu atakapowakomboa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ