2 Akaona vilevile mujane mumoja masikini akitia ndani ya ile sanduku vikoroti viwili vidogo sana.
Na kukakuja mujane mumoja masikini, akatoa vikoroti viwili vidogo sana vinavyolingana na sengi mbili.
Basi akasema: “Kweli ninawaambia kwamba mujane huyu masikini ametoa mingi zaidi kuliko watu wote wengine.