14 Basi mukusudie ndani ya moyo kwamba hamutajihangaisha mbele ya wakati kwa kutafuta kujua namna mutakavyojitetea.
Basi, kwenda! Mimi nitaongoza kinywa chako na kukufundisha cha kusema.”
Na mutakapokamatwa na kupelekwa kwa kuhukumiwa, musijihangaishe mbele ya wakati juu ya maneno mutakayosema, lakini museme maneno mutakayopewa saa ile ile. Kwa sababu hayatatoka kwenu wenyewe, lakini yatatoka kwa Roho Mutakatifu.