Luka 20:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Akaendelea kuwaambia watu mufano huu: “Mutu mumoja alipanda shamba la mizabibu. Kisha kupatana kugawanyana mavuno na walimaji wamoja watakaobaki wakitunza shamba lake, akaenda safari katika inchi ingine na kukaa kule kwa muda murefu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |