40 Na hakuna mutu aliyesubutu tena kumwuliza maneno mengine.
Umujibu mupumbafu kama kufuatana na upumbafu wake, kusudi asijione kuwa mwenye hekima zaidi.
Basi hakuna mutu aliyeweza kumujibu neno, na tangia siku ile hakuna aliyesubutu kumwuliza tena neno.
Yesu alipoona kwamba amejibu kwa akili, akamwambia: “Si mbali kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu.” Kisha maneno hayo hakuna mutu aliyesubutu tena kumwuliza Yesu neno.
Nao hawakuweza kumujibu neno.
Walimu wamoja wa Sheria wakasema: “Mwalimu, umejibu vizuri!”