39 Walimu wamoja wa Sheria wakasema: “Mwalimu, umejibu vizuri!”
Yeye si Mungu wa wafu, lakini ni Mungu wa wanaokuwa wazima; maana mbele yake wote wanaishi.”
Na hakuna mutu aliyesubutu tena kumwuliza maneno mengine.
Basi kukakuwa makelele mengi, na walimu wamoja wa Sheria waliokuwa wa chama cha Wafarisayo wakasimama na kubishana kwa nguvu, wakisema: “Hatuoni ubaya wowote juu ya mutu huyu. Labda roho au malaika wamesema naye!”