30 Ndugu wa pili akaoa yule mujane, akakufa vilevile bila kuacha mutoto.
Basi kulikuwa wandugu saba. Wa kwanza alioa mwanamuke, lakini mutu yule akakufa bila kuacha mutoto.
Na ikakuwa vile kwa ndugu wa tatu na hata kwa wote saba. Wote wakakufa bila kuacha mutoto.