3 Yesu akawajibu: “Mimi vilevile nitawauliza ulizo hili moja. Muniambie,
“Utuambie ni kwa mamlaka gani unafanya mambo haya, na ni nani aliyekupa mamlaka yale?”
Yoane alipata mamlaka ya kubatiza kutoka kwa nani? Kwa Mungu au kwa watu?”
na kama ninawauliza ulizo, hamutanijibu.
Masemi yenu yanapaswa kuwa mazuri siku zote na yenye kufaa, munapaswa kujua kujibia kila mutu vizuri.