Luka 20:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200228 “Mwalimu, Musa alituamuru: Mutu akiwa na ndugu yake, naye akikufa na kuacha muke wake bila mutoto, yule ndugu yake anapaswa kumwoa yule mujane na kumuzalia ndugu yake marehemu watoto. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |