52 Na Yesu alizidi kuwa na hekima, na kuongezeka kimo na kuendelea kumupendeza Mungu na watu.
Mutoto yule akakomaa na kuzidi kuwa na nguvu katika roho. Akakaa katika nafasi za jangwa mpaka siku alipojionyesha waziwazi mbele ya Waisraeli.
Mutoto yule akakomaa, akazidi kuwa na nguvu, akajaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa pamoja naye.
Na yeyote anayemutumikia Kristo kwa njia hiyo anamupendeza Mungu, naye anapata kuwa mwenye kustahili mbele ya watu.
Mutoto Samweli aliendelea kukomaa, akazidi kupendwa na Yawe na watu.