Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 2:47 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

47 Na wote waliomusikia walishangaa kuona akili yake na majibu yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 2:47
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninaelewa kuliko walimu wangu wote, kwa sababu ninafikiri juu ya maagizo yako.


na kwenda katika muji wake mwenyewe. Kule akaanza kuwafundisha watu katika nyumba zao za kuabudia, nao walishangaa na kuuliza: “Huyu amepata hekima na miujiza hii kutoka wapi?


Makundi ya watu waliposikia maneno hayo, wakashangaa sana na mafundisho yake.


Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, makundi ya watu wakashangaa sana kwa kuona namna alivyowafundisha;


Watu waliomusikia walishangaa sana kuona namna alivyofundisha, kwa maana hakuwafundisha sawa na walimu wao wa Sheria, lakini kama mutu mwenye mamlaka.


Wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria walipopata habari hii, wakatafuta njia ya kumwua Yesu. Lakini walimwogopa, kwa sababu kundi lote la watu walishangaa na mafundisho yake.


Siku ya Sabato ilipotimia, akaanza kufundisha katika nyumba ya kuabudia. Watu wengi waliomusikiliza, wakashangaa sana na kuulizana: “Huyu amepata maneno haya yote kutoka wapi? Ni hekima ya namna gani aliyopata? Ni kwa uwezo wa namna gani anafanya miujiza kama hii?


Na wote waliosikia habari ile waliyoieleza wakashangaa.


Nyuma ya siku tatu, wakamukuta ndani ya hekalu, akiikaa katikati ya walimu wakubwa wa Sheria, akiwasikiliza na kuwauliza maulizo.


Nao wote wakamufurahia na kushangaa na maneno mazuri aliyosema. Wakasema: “Huyu si mwana wa Yosefu?”


Nao wakashangaa sana kuona namna alivyowafundisha, kwa maana aliwafundisha kama mutu mwenye mamlaka.


Wayuda wakashangaa, wakisema: “Mutu huyu amepata elimu kama hii namna gani, naye hakufundishwa?”


Walinzi wakajibu: “Hatujasikia mutu akisema sawasawa na mutu yule!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ