Basi Amazia mufalme wa Yuda alifanya shauri, akatuma ujumbe kwa Yoasi, mwana wa Yoahazi, mwana wa Yehu mufalme wa Israeli, akamwambia: “Kuja tuonane uso kwa uso.”
Yawe akaendelea kusema: “Kwa muda wa siku saba, mutakula mikate isiyotiwa chachu. Siku ya kwanza ya siku hizo saba, mutaondoa chachu katika nyumba zenu. Mutu yeyote akikula kitu kilichotiwa chachu katika muda ule wa siku saba, anapaswa kuondolewa kati ya Waisraeli.
Walizania kama alikuwa pamoja na wenzake aliosafiri nao. Kisha kutembea mwendo wa siku nzima, wakaanza kumutafuta katikati ya wandugu zao na ya watu waliojuana nao.