Yesu akafika Nazareti, nafasi alipokomalia. Siku ya Sabato ilipotimia akaingia katika nyumba ya kuabudia kama ilivyokuwa desturi yake. Akasimama kwa kusoma Maandiko Matakatifu;
lakini alipofika Galilaya, wakaaji wa kule wakamupokea, kwa maana wao vilevile walikuwa Yerusalema kwa sikukuu ya Pasaka, nao waliona mambo yote aliyofanya kule.