Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 2:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 Kulikuwa vilevile nabii mumoja mwanamuke, aliyeitwa Ana, aliyekuwa binti ya Fanueli, wa kabila la Aseri. Yeye alikuwa muzee sana. Aliishi miaka saba na mume wake tangu alipoolewa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 2:36
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lea akasema: “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Aseri.


Kwa hiyo kuhani Hilkia, Ahikamu, Akibori, Safanu na Asahiya, wote walikwenda kuomba shauri kwa mwanamuke mumoja nabii jina lake Hulda aliyekuwa muke wa Salumu mwana wa Tikwa, mujukuu wa Harihasi, mutunza nguo za hekalu. Wakati ule, Hulda alikuwa anaishi katika mutaa wa pili wa Yerusalema, nao wakazungumuza naye.


Utashuka katika kaburi ukiwa na miaka yenye kutimia, kama vile muganda wa ngano uliokomaa vizuri.


Kama miti iliyopandwa katika nyumba ya Yawe, wanastawi katika viwanja vya Mungu wetu;


Basi nabii Miriamu, dada ya Haruni, akatwaa ngoma katika mukono, na wanawake wengine wote wakamufuata wakiwa na ngoma zao ndogo wakicheza.


Na sasa, ewe mwanadamu, uwaelekee wanawake wa taifa lako ambao wanatabiri mambo ambayo wameyawaza wao wenyewe. Utabiri juu yao


kusudi mawazo ya wengi yanayofichwa yapate kufunuliwa wazi. Na kwa ngambo yako wewe, uchungu utakuchoma moyo kama upanga.”


Basi, akafika saa ile ile, akaanza kumushukuru Mungu. Naye akaeleza habari za mutoto huyo kwa watu wote waliokuwa wakingojea jinsi Mungu atakavyokomboa Yerusalema.


Hakika katika siku zile nitashusha Roho wangu juu ya watumishi wangu, wanaume na wanawake, nao watatabiri.


Yeye alikuwa na wabinti wane waliokuwa hawajaolewa waliokuwa na zawadi ya kutabiri.


Lakini mwanamuke yeyote asipofunika kichwa chake wakati anapoomba au anapotabiri, anamuzaraulisha mume wake. Tendo hilo linahesabiwa kama vile amenyolewa.


Sasa tuangalie mambo yanayoelekea zawadi za Roho Mutakatifu. Wandugu zangu, sitaki mukose kufahamu ukweli wa zawadi hizi.


Basi musimamizi wa kanisa anapaswa kuwa mutu asiyeshitakiwa neno lolote. Sherti akuwe na muke mumoja tu, akuwe mukadirifu, mwenye akili, akuwe mwema na mwenye kupenda kukaribisha wageni na mwenye kujua kufundisha.


Usimwandike katika hesabu ya wajane mujane yeyote ambaye hajatimiza umri wa miaka makumi sita. Tena inafaa akuwe yule aliyeolewa na mume mumoja tu.


Kura ya tano ilizipata ukoo za kabila la Aseri.


Wakati ule, kulikuwa nabii mumoja mwanamuke aliyeitwa Debora, muke wa Lapidoti, aliyekuwa mwamuzi wa Waisraeli wakati ule.


Elekana alikuwa na wake wawili, mumoja aliitwa Hana na wa pili Penina. Penina alikuwa na watoto, lakini Hana hakukuwa na watoto.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ