Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 2:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Wazazi wa Yesu wakashangaa kusikia maneno yale Simeoni aliyosema juu ya mutoto.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 2:33
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mimi pamoja na watoto Yawe alionipa ni kitambulisho na mufano katika Israeli kwa jina la Yawe wa majeshi anayekaa kwenye mulima Sayuni.


Yesu alipokuwa hajamaliza kusema na lile kundi la watu, mama yake na wandugu zake wakafika. Walisimama inje wakitaka kusemezana naye.


Yesu aliposikia maneno haya, akashangaa na kuwaambia watu waliomufuata: “Kweli ninawaambia: katika inchi yote ya Israeli, sijaona bado mutu anayekuwa na imani kubwa kama huyu.


Na wote waliosikia habari ile waliyoieleza wakashangaa.


Wazazi wake walipomwona, wakashangaa sana. Mama yake akamwuliza: “Mutoto wangu, kwa nini umetufanyia kama hivi? Mimi na baba yako tulikutafuta tukiwa na wasiwasi.”


Basi watu wale hawakuweza kumunasa katika neno lolote mbele ya watu, lakini wakashangaa na jibu lake, nao wakanyamaza.


Na watu wote wakashangaa sana kwa kuona uwezo mukubwa wa Mungu. Nao wote walipokuwa wakishangaa juu ya mambo hayo yote Yesu aliyofanya, yeye akawaambia wanafunzi wake:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ