Luka 2:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Wakati ule katika Yerusalema kulikuwa mutu mumoja aliyeitwa Simeoni. Mutu huyo alikuwa mwenye haki na mwenye kuogopa Mungu. Alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa taifa la Israeli. Roho Mutakatifu alikuwa pamoja naye; အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |