Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 19:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Yesu alipofika kwenye nafasi ile akainua macho na kumwambia: “Zakayo, shuka mbio; kwa maana imenipasa kupanga ndani ya nyumba yako leo.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 19:5
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kila kitu unachotaka kufanya ukifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima kule katika kuzimu unakokwenda.


Mimi nilipopita karibu nawe, nikakuona ukigaagaa katika damu yako, nikakuambia:


Kwa maana Mwana wa Mutu alikuja kutafuta na kuokoa yule aliyepotea.”


Kule kulikuwa mutu mumoja jina lake Zakayo aliyekuwa mukubwa wa walipishaji wa kodi, naye alikuwa tajiri.


Halafu akatangulia mbio na kupanda juu ya muti wa mukuyu apate kumwona Yesu, kwa sababu Yesu alipaswa kupitia kwenye njia ile.


Zakayo akashuka mbio na kumukaribisha kwa furaha.


Natanaeli akamwuliza: “Unanijua namna gani?” Yesu akamujibu: “Filipo alipokuwa hajakuita, nilikuona wakati ulipokuwa chini ya muti wa matunda ya tini.”


Yesu akamujibu: “Anayenipenda, atashika maneno yangu. Baba yangu atamupenda, naye Baba pamoja nami tutaingia ndani yake na kukaa ndani yake.


Basi, sisi tunaotumika pamoja na Mungu, tunawasihi musipoteze bure neema muliyopokea kwake.


Hivi Kristo apate kukaa ndani ya mioyo yenu kwa njia ya imani, nanyi mupate kuwa na mizizi na musingi katika upendo.


Musisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi wamoja wamewakaribisha wamalaika pasipo kujua.


Sikiliza, ninasimama kwenye mulango na ninapiga hodi. Kama mutu akisikia sauti yangu na kunifungulia, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye atakula pamoja nami.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ