Mufalme Solomono aliongeza feza na zahabu zikakuwa nyingi kama mawe katika Yerusalema, na mbao za mierezi zikapatikana kwa wingi kama mikuyu ya Sefela.
Basi Solomono alifanya feza katika Yerusalema kuwa kitu cha kawaida kama mawe katika Yerusalema, na mbao za mierezi zilipatikana kwa wingi kama mikuyu inayokuwa Sefela.
Bwana akajibu: “Kama mukiwa na imani, hata ikiwa tu kama punje ndogo sana ya haradali, mutaweza kuuambia muti huu wa mukuyu: ‘Ujiongoe hapa na uende kujipanda katika bahari,’ nao ungewatii.
Lakini kwa kuona walikosa njia ya kumwingiza ndani, kwa sababu ya wingi wa watu, wakapanda juu ya paa, wakaondosha matebura na kumushusha yule mugonjwa katikati ya watu, akiwa juu ya kipoyi chake, hata wakamufikisha mbele ya Yesu.