33 Walipokuwa wakimufungua, wenyeji wa mwana-punda yule wakawauliza: “Kwa nini munamufungua mwana-punda huyu?”
Basi wale waliotumwa wakaenda, wakakuta vyote kama vile Yesu alivyowaambia.
Wakajibu: “Bwana yuko na lazima ya kumutumia.”