32 Basi wale waliotumwa wakaenda, wakakuta vyote kama vile Yesu alivyowaambia.
Na kama mutu akiwauliza: ‘Kwa sababu gani munamufungua?’, mumwambie: ‘Bwana yuko na lazima ya kumutumia.’ ”
Walipokuwa wakimufungua, wenyeji wa mwana-punda yule wakawauliza: “Kwa nini munamufungua mwana-punda huyu?”
Wakaenda na kukuta vitu vyote sawa vile Yesu alivyowaambia. Nao wakatayarisha karamu ya Pasaka.