31 Na kama mutu akiwauliza: ‘Kwa sababu gani munamufungua?’, mumwambie: ‘Bwana yuko na lazima ya kumutumia.’ ”
Zaburi ya Daudi. Dunia na vyote vinavyokuwa ndani yake ni vya Yawe; ulimwengu na wote wanaoishi ndani yake ni mali yake.
“Mwende katika kijiji kinachokuwa mbele yenu. Mutakapofika kule, mutaona mwana-punda amefungwa, na hakuna mutu aliyekwisha kupanda juu yake. Mumufungue na kumuleta hapa.
Basi wale waliotumwa wakaenda, wakakuta vyote kama vile Yesu alivyowaambia.
Yeye ametuma ujumbe wake kwa Waisraeli, akiwahubiri Habari Njema ya amani kwa njia ya Yesu Kristo, anayekuwa Bwana wa watu wote.