Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 19:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Halafu akawaambia wale waliokuwa pale: ‘Mumunyanganye ile furushi moja na kuitoa kwa yule anayekuwa na furushi kumi.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 19:24
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Mungu akamwambia: ‘Mupumbafu wewe! Leo leo usiku utakufa. Na sasa, vitu hivi vyote ulivyojitayarishia vitakuwa vya nani?’ ”


Halafu bwana wake akamwita na kumwambia: ‘Ni habari gani ile waliyonielezea juu yako? Ninakuomba unifanyie hesabu yote ya mali yangu, kwa sababu hauwezi tena kuwa mulinzi wa mali yangu.’


Mbele ya kuondoka kwake akawaita watu kumi kati ya watumishi wake, akamupatia kila mumoja furushi moja ya zahabu na kuwaambia: ‘Mufanye nazo uchuuzi mpaka nitakaporudia.’


Kwa nini basi haukuweka feza yangu katika banki, kusudi siku ya kurudia kwangu ningepata mali yangu pamoja na faida yake?’


Wakamwambia: ‘Bwana, amekwisha kuwa na furushi kumi!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ