Luka 19:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200215 “Lakini yule mutu mwenye heshima alisimikwa kuwa mufalme, na kurudia kwake. Halafu akaamuru wamwitie wale watumishi aliowapatia zahabu kusudi apate kujua kila mumoja amefaidia ngapi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |