Luka 19:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Watu walipokuwa wakisikiliza maneno hayo, Yesu akaongeza kuwaambia mufano mumoja, kwa sababu alikuwa karibu na muji Yerusalema, na watu wale walizani kwamba siku za Ufalme wa Mungu zitafika saa ile ile. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |