Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 18:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 lakini kwa sababu mujane huyu anazidi kuniuzi nitamupatia haki yake, kusudi asiendelee kufika hapa na kunikasirikisha.’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 18:5
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakaendelea kunitumia ujumbe uleule mara ine, lakini nikawapa jibu lilelile.


Lakini Yesu hakumujibu hata neno moja. Halafu wanafunzi wake wakamufikia na kumusihi: “Umwambie aende kwa maana anatuuzi na makelele.”


Hakika ninawaambia kwamba hataamuka kumupatia mikate kwa sababu yeye ni rafiki yake tu, lakini sababu ya kusihi sana kwa rafiki yake, ataamuka na kumupatia vyote anavyohitaji.


Vilevile katika muji ule, kulikuwa mujane mumoja aliyekuwa akimwendea yule mwamuzi akimusihi: ‘Unipatie haki yangu juu ya mupinzani wangu.’


Watu waliotangulia wakamukaripia na kumunyamazisha, lakini alizidi kulalamika, akisema: “Mwana wa Daudi, unisikilie huruma!”


Lakini ninatesa mwili wangu kwa mazoezi makali na kuutumikisha vikali kusudi mimi mwenyewe nisikataliwe kisha kutangaza ujumbe kwa watu wengine.


Delila alipoendelea kumusumbua sana Samusoni kwa maneno, siku kwa siku na kumwuzi hata akachoka ndani ya roho karibu kufa,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ