41 “Unataka nikufanyie nini?” Akamujibu: “Bwana, ninataka nipate kuona.”
Yesu akasimama, akaamuru wamulete kwake. Yule kipofu alipokaribia, Yesu akamwuliza:
Yesu akamwambia: “Upate kuona! Imani yako imekuponyesha.”
Lakini tukitumainia kitu tusichokiona, tunakingojea kwa uvumilivu.
Musijisumbue juu ya neno lolote, lakini katika kila neno mutoe mahitaji yenu kwa Mungu, mukimwomba, mukimusihi na kumushukuru.