40 Yesu akasimama, akaamuru wamulete kwake. Yule kipofu alipokaribia, Yesu akamwuliza:
Watu waliotangulia wakamukaripia na kumunyamazisha, lakini alizidi kulalamika, akisema: “Mwana wa Daudi, unisikilie huruma!”
“Unataka nikufanyie nini?” Akamujibu: “Bwana, ninataka nipate kuona.”