Yesu akawajibu: “Sababu gani munaogopa kama hivi? Hakika imani yenu ni ndogo!” Halafu akasimama, akakaripia zoruba na maji na kukakuwa kimya kabisa ndani ya ziwa.
Yesu alipokuwa hajamaliza kusema maneno hayo, mujumbe mumoja akafika toka kwa yule mukubwa Yairo wa nyumba ya kuabudia na kumwambia: “Binti yako amekwisha kufa. Usiendelee kumusumbua Mwalimu.”