Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 18:39 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

39 Watu waliotangulia wakamukaripia na kumunyamazisha, lakini alizidi kulalamika, akisema: “Mwana wa Daudi, unisikilie huruma!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 18:39
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa mukubwa wa waimbaji: Zaburi ya Daudi. Ninakulilia, ee Yawe, ukuje haraka kunisaidia! Usikilize sauti yangu wakati ninapokuita!


“Muombe, nanyi mutapewa; mutafute, nanyi mutapata; mupige hodi, nanyi mutafunguliwa mulango.


Yesu akawajibu: “Sababu gani munaogopa kama hivi? Hakika imani yenu ni ndogo!” Halafu akasimama, akakaripia zoruba na maji na kukakuwa kimya kabisa ndani ya ziwa.


Yesu akaondoka toka pale, naye alipokuwa katika njia, vipofu wawili wakamufuata wakilalamika, wakisema: “Utuhurumie, Ee Mwana wa Daudi!”


“Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria! Mumewaficha watu ufunguo wasiingie kwenye nafasi wanapoweza kujifunza elimu. Ninyi wenyewe hamuingii pale, nanyi munawazuia wale wanaotaka kuingia.”


Halafu Yesu akawaambia wanafunzi wake mufano huu kwa kuwaonyesha kwamba wanapaswa kuomba siku zote pasipo kuchoka.


Watu wamoja walimuletea Yesu hata watoto wadogo kusudi awaguse. Wanafunzi walipoona vile, wakawakaripia watu wale.


Basi akalalamika akisema: “Yesu Mwana wa Daudi, unisikilie huruma!”


Yesu akasimama, akaamuru wamulete kwake. Yule kipofu alipokaribia, Yesu akamwuliza:


Kwa hiyo, wamoja kati ya Wafarisayo waliokuwa katika kundi la watu wakamwambia Yesu: “Mwalimu, uwakaripie wanafunzi wako!”


Yesu alipokuwa hajamaliza kusema maneno hayo, mujumbe mumoja akafika toka kwa yule mukubwa Yairo wa nyumba ya kuabudia na kumwambia: “Binti yako amekwisha kufa. Usiendelee kumusumbua Mwalimu.”


Nami nilimusihi Bwana mara tatu kusudi aniondolee kitu kile.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ