36 Aliposikia kundi la watu wakipita, akauliza juu ya mambo yanayopitika.
Akamwita mumoja kati ya watumishi, na kumwuliza juu ya mambo yanayopitika kule.
Yesu alipokaribia muji Yeriko, mutu mumoja kipofu alikuwa akiikaa pembeni ya njia akiombaomba.
Wakamwambia kwamba ni Yesu wa Nazareti ndiye anayepita.