Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 18:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Watamupiga fimbo na kisha watamwua. Lakini kwa siku ya tatu kisha kufa kwake atafufuka!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 18:33
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Tangia wakati ule Yesu akaanza kuwaambia wanafunzi wake waziwazi kwamba ni sherti kwake kwenda Yerusalema, ateswe kule na wasimamizi wa watu, wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria, auawe, na kwa siku ya tatu kisha kufa kwake, atafufuka.


na kumwambia: “Bwana, tunakumbuka kwamba wakati yule mudanganyifu alipokuwa angali muzima, alisema: ‘Kwa siku tatu kisha kufa kwangu, nitafufuka.’


Maana atatolewa katika mikono ya watu wa mataifa mengine. Watamuchekelea, watamutukana na kumutemea mate.


Wanafunzi wake hawakufahamu maana ya maneno hayo, kwa sababu yalikuwa yamefichwa kwao, nao hawakutambua kama Yesu alisema juu ya nini.


Sisi tulikuwa na tumaini kwamba yeye ndiye atakayekomboa Waisraeli. Lakini sasa, leo ni siku ya tatu tangu mambo hayo yalipofanyika.


Aliwaambia kwamba Mwana wa Mutu anapaswa kutolewa katika mikono ya wenye zambi, na kutundikwa juu ya musalaba, lakini kwa siku ya tatu kisha kufa, atafufuka.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ