Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 18:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 atapokea mara mingi zaidi katika wakati wa sasa. Na katika wakati utakaokuja atapokea uzima wa milele.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 18:30
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nyuma ya Yobu kuwaombea warafiki zake, Yawe akamurudishia Yobu hali yake ya kwanza. Akamupa mara mbili ya yote aliyokuwa nayo pale mbele.


Maagizo yako ni matamu sana kwangu; ni matamu kuliko asali!


Maagizo yako ni urizi mukubwa kwangu milele; hayo ni furaha ya moyo wangu.


Kweli, ninapenda amri zako, kuliko hata zahabu safi kabisa.


Ninafurahi kwa sababu ya neno lako, kama mutu aliyekuta kitu cha bei kali.


Sheria uliyoweka ni bora kwangu, kuliko mali zote za dunia.


Afazali mali kidogo ya mutu wa haki kuliko utajiri mwingi wa watu waovu.


Kila mutu anayesema vibaya juu ya Mwana wa Mutu atasamehewa, lakini kila mutu anayesema vibaya juu ya Roho Mutakatifu, hatasamehewa katika ulimwengu huu, wala katika ule unaokuja.


Habari zake zikavuma katika inchi yote ya Suria. Wakamuletea watu wote walioteswa na magonjwa mbalimbali na wenye maumivu ya kila namna, wenye pepo, wenye kifafa na wenye kupooza, naye Yesu akawaponyesha.


Mazoezi ya mwili yana mafaa kidogo, lakini kushikamana na ibada kuna mafaa katika mambo yote, kwa maana kunatupatia ahadi ya kuishi kwa wakati huu wa sasa na kwa wakati utakaokuja.


Hakika, dini ni pato kubwa kwa mutu kama anafurahia vitu anavyokuwa navyo.


Usiogope mateso utakayopata. Sikiliza, Shetani atawajaribu kwa njia ya kuwatia wamoja wenu katika kifungo, nanyi mutateseka kwa muda wa siku kumi. Lakini ukuwe mwaminifu mpaka kufa, nami nitakupatia taji ya uzima.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda, nitamupa ile mana iliyofichwa. Na nitamupa vilevile jiwe dogo jeupe, na juu yake kumeandikwa jina jipya ambalo hakuna mutu yeyote anayelijua, isipokuwa tu yule anayelipewa.


Yule atakayeshinda, nitamwikalisha karibu nami kwenye kiti changu cha kifalme, kama vile mimi nilivyoshinda na kuikaa karibu na Baba yangu kwenye kiti chake cha kifalme.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ