29 Yesu akawaambia: “Kweli ninawaambia: kama mutu akiacha nyumba yake, muke, wandugu, wazazi, au watoto wake kwa ajili ya Ufalme wa Mungu,
Lakini ninyi mushugulikie kwanza Ufalme wa Mungu na kufuata haki mbele yake, naye atawaongezea vitu vile vyote.
Na mwingine akamwambia: ‘Mimi ninatoka kuoa siku hizi, na kwa sababu hii siwezi kuja.’
Walawi waliacha wazazi wao, wakawasahau wandugu zao, hawakuwatambua hata watoto wao, maana walifuata amri zako, na kushika agano lako.