28 Basi Petro akamwambia: “Sisi tumeacha vyote tulivyokuwa navyo na kukufuata wewe!”
Halafu Petro akamwuliza: “Angalia, sisi tumeacha vyote na kukufuata wewe! Basi na sisi tutapata nini?”
Yesu alipokuwa akipita, akamwona mutu anayeitwa Matayo, akiikaa katika nyumba ya kulipishia kodi. Yesu akamwambia: “Unifuate!” Naye akasimama na kumufuata.
Petro akamwambia: “Angalia sisi tumeacha vyote na kukufuata wewe!”
Basi wakakokota vyombo vyao mpaka inchi kavu, wakaacha vyote na kumufuata.
Na kisha akamwambia yule mwanafunzi: “Sasa huyu ndiye mama yako.” Na tokea saa ile, mwanafunzi yule alimupeleka Maria kwake.
Lakini mambo yote yaliyokuwa ya faida kwangu, sasa kwa ajili ya Kristo, ninayahesabu kama kihombo.