Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 17:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Si vile, yeye atamwambia kwanza amupigie chakula na kujitayarisha vizuri kusudi amushugulikie mpaka atakapomaliza kula na kunywa. Kisha pale, ataweza kula na kunywa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 17:8
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yosefu alipomwona Benjamina pamoja nao, akamwambia musimamizi wa nyumba yake: “Uwapeleke watu hawa kwenye nyumba, uchinje nyama mumoja na kumutengeneza vizuri, maana watu hawa watakula nami chakula cha muchana.”


Kisha, Daudi akasimama, akaoga, akajipakaa mafuta na kubadilisha nguo zake. Halafu akaenda katika nyumba ya Yawe na kuabudu. Kisha akarudi kwake, akaamuru wamuletee chakula, naye akakula.


Heri watumishi wale bwana wao atakaowakuta wakikesha wakati anapofika! Kweli ninawaambia: atafunga mukaba wake vizuri na kuwakaribisha kula chakula, na kubakia pale akiwashugulikia.


“Tuseme kwa mufano, kati yenu kuna mutu mumoja anayekuwa na mutumishi anayemulimia au kumuchungia nyama wake. Mutumishi yule anaporudia toka kwenye shamba ataweza kumwambia kwamba aikae mara moja kula chakula?


Basi bwana wa yule mutumishi atamushukuru kwa sababu amefanya sawa vile alivyoamuriwa? Hapana.


Basi Yesu akaondoka kwenye chakula, akavua kanzu yake, akajifunga kitambaa katika kiuno.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ