Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 17:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 “Tuseme kwa mufano, kati yenu kuna mutu mumoja anayekuwa na mutumishi anayemulimia au kumuchungia nyama wake. Mutumishi yule anaporudia toka kwenye shamba ataweza kumwambia kwamba aikae mara moja kula chakula?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 17:7
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yesu akawajibu: “Kama mutu mumoja kati yenu akiwa na kondoo mumoja, na kondoo yule akitumbukia ndani ya shimo kwa siku ya Sabato, hatamukamata na kumwondosha mule siku ile ile?


Lakini Bwana akamujibu: “Ninyi wanafiki! Kuna mutu mumoja kati yenu anayekosa kumufungua ngombe au punda wake toka katika upango kwa siku ya Sabato kwa kumupeleka kunywa maji?


Kisha akawaambia wale watu: “Ni nani kati yenu mutoto wake au ngombe wake akitumbukia ndani ya kisima, atakayekosa mara moja kumwondosha mule hata ikiwa ni siku ya Sabato?”


Na kama ilivyokuwa katika siku za Noa, ni vile itakavyokuwa katika nyakati za kuja kwa Mwana wa Mutu.


Bwana akajibu: “Kama mukiwa na imani, hata ikiwa tu kama punje ndogo sana ya haradali, mutaweza kuuambia muti huu wa mukuyu: ‘Ujiongoe hapa na uende kujipanda katika bahari,’ nao ungewatii.


Si vile, yeye atamwambia kwanza amupigie chakula na kujitayarisha vizuri kusudi amushugulikie mpaka atakapomaliza kula na kunywa. Kisha pale, ataweza kula na kunywa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ