36 Watu wawili watakuwa katika shamba moja, mumoja atapelekwa na mwingine ataachwa.]”
Wakati ule, watu wawili watakutiwa katika shamba moja; mumoja atapelekwa na mwingine ataachwa.
Wanafunzi wakamwuliza: “Bwana, mambo haya yatafanyika wapi?” Naye akawajibu: “Nafasi patakapokuwa muzoga ni pale tai watakapokusanyika.”