34 Ninawaambia ninyi: katika usiku ule, watu wawili watakuwa katika kitanda kimoja; mumoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
Usiniangamize pamoja na wenye zambi, wala usinitupe pamoja na wauaji,
Usiniazibu pamoja na watu wabaya, wale watenda maovu wanaosema vizuri na wenzao, kumbe wanajaa ubaya ndani ya moyo.
Mambo niliyotabiri yametukia; na sasa ninatangaza mambo mapya, ninakuelezea hayo mbele hayajatukia.
Wewe unajitakia wewe mwenyewe mambo makubwamakubwa? Usiyatafute! Achana nayo, maana ninaleta maangamizi juu ya wanadamu wote. Pato lako ni hili: nitayaokoa maisha yako kila nafasi utakapokwenda. –Ni ujumbe wa Yawe.
Angalia, nimewaambia haya yote mbele.
Lakini ninyi mujiangalie vizuri, kwa maana nimewaambia hayo yote mbele.
Petro akamwambia: “Hata wote wengine wakianguka, mimi sitaanguka.”
“Mufanye nguvu muingie kwa kupitia mulango unaokuwa mwembamba; maana ninawaambia ninyi hakika: watu wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.
Hakika si vile, lakini musipogeuka toka zambi zenu, ninyi wote mutaangamia kama wao.
Hakika si vile: lakini musipogeuka toka zambi zenu, ninyi wote mutaangamia kama wao.”
Yule atakayelinda uzima wake, ataupoteza; lakini yule atakayetoa uzima wake, ataulinda.
Wanawake wawili watakuwa wakisaga pamoja, mumoja atapelekwa na mwingine ataachwa. [
Basi, ni kusema kwamba Bwana anajua namna ya kuwaokoa wenye kumwogopa katika majaribu. Lakini anangojea kuwaazibu watu wabaya kwa Siku ile ya hukumu.