32 Mukumbuke yale yaliyomutokea muke wa Loti.
Walipowatosha inje ya muji, malaika mumoja wao akawaambia: “Mukimbie kwa ajili ya usalama wenu. Musiangalie nyuma wala kusimama popote katika bonde. Mukimbilie kwenye milima, musipate kuangamia.”
Lakini muke wa Loti aliyekuwa nyuma ya Loti, akatazama nyuma, akageuka nguzo ya chumvi.
Yule atakayelinda uzima wake, ataupoteza; lakini yule atakayetoa uzima wake, ataulinda.