23 Watu watawaambia: ‘Yuko kule!’ au ‘Yuko hapa!’ Lakini musiondoke kwa kuwafuata kule.
Hawatasema: ‘Anatawala hapa’ au ‘Anatawala huku.’ Hakika Mungu anatawala kati yenu.”
Yesu akawajibu: “Muangalie vizuri, musidanganywe. Watu wengi watakuja wakijiita kwa jina langu, wakisema kwamba wao ndio Kristo, nao wakati umetimia. Ingawa vile, musiwafuate.