17 Halafu Yesu akauliza: “Watu walioponyeshwa hawakukuwa kumi? Wale wengine tisa wako wapi?
Lakini Yawe Mungu akamwita yule mwanaume: “Uko wapi?”
Lakini bila kukawia walisahau matendo yake, wakaacha kutegemea shauri lake.
Akainama uso mpaka chini mbele ya Yesu na kumushukuru. Mutu huyo alikuwa Musamaria.
Hakuna mwingine kati yao aliyerudia kwa kumutolea Mungu shukrani, isipokuwa huyu mugeni tu?”
Ijapokuwa wanamujua Mungu, hawamutukuzi wala kumushukuru kama vile anavyostahili. Lakini mawazo yao yaligeukia mambo ya ovyo ovyo, na mioyo yao isiyokuwa na ufahamu ilibaki katika giza.