11 Yesu alipokuwa katika safari kwenda Yerusalema, akapita katika jimbo la Samaria na la Galilaya.
Na ni hivi inavyokuwa kwenu vilevile. Wakati mutakapokwisha kufanya yote muliyoamuriwa, museme: ‘Sisi ni watumishi tu, tumetimiza tu mapaswa yetu.’ ”