Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 17:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Na ni hivi inavyokuwa kwenu vilevile. Wakati mutakapokwisha kufanya yote muliyoamuriwa, museme: ‘Sisi ni watumishi tu, tumetimiza tu mapaswa yetu.’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 17:10
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, mimi nikasema: Ole kwangu! Mimi nimeangamia, maana, midomo yangu ni michafu, na watu ninaoishi nao ni wenye midomo michafu. Hata hivyo, kwa macho yangu mwenyewe, nimemwona Mufalme, Yawe wa majeshi.


Hakuna hata mumoja anayekuja kukuomba; hakuna anayejishugulisha kukutafuta. Wewe unauficha uso wako mbali nasi, umetuacha tufungwe na maovu yetu.


Nao walifika, wakaitwaa na kuirizi. Lakini wao hawakukusikiliza, wala hawakufuata sheria zako. Hawakutenda mambo uliyoamuru. Ndiyo maana utawafanya wapatwe na hasara hii.


Na zaidi ya hii, mumutupe huyu mutumishi asiyekuwa na mafaa inje kwenye giza. Kule atalia na kusaga meno.’


Yesu alipokuwa katika safari kwenda Yerusalema, akapita katika jimbo la Samaria na la Galilaya.


Basi bwana wa yule mutumishi atamushukuru kwa sababu amefanya sawa vile alivyoamuriwa? Hapana.


Ni nani anayeweza kumupa Mungu kitu kwanza, kusudi naye apate kumurudishia?”


Wote wamepotea, wote kwa jumla wamepotoka. Hakuna mwenye kufanya mema, hata mumoja.


Zamani yeye hakukufalia kitu, lakini sasa atakufalia wewe na mimi vilevile.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ