Luka 16:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Basi bwana wa yule mulinzi akamusifu kwa sababu alitenda kwa werevu. Kwa maana watu wa dunia hii wanatengeneza maneno yao na wenzao kwa werevu sana kuliko watu wanaopenda kuishi katika mwangaza.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |