Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 16:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Naye akamujibu: ‘Madebe mia moja ya mafuta ya muzeituni.’ Yule mulinzi wa mali akamwambia: ‘Kamata barua yako ya mapatano ya deni, ikaa upesi na uandike makumi tano.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 16:6
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Ilipokuwa magaribi, mwenye shamba akamwambia musimamizi wake: ‘Uwaite watumishi na uwalipe mushahara wao, ukianzia kwa wale wa mwisho mpaka kwa wale wa kwanza.’


Na kama hamuwezi kulinda mali ya mutu mwingine kwa uaminifu, ni nani atakayewapa mali yenu ya pekee?


Halafu akamwita kila mutu aliyekuwa na deni ya bwana wake. Akamwuliza kwanza: ‘Deni ya bwana wangu unayokuwa nayo ni yapata gani?’


Kisha akamwuliza mwingine: ‘Na wewe uko na deni yapata gani?’ Naye akajibu: ‘Saki mia moja za ngano.’ Yule mulinzi akamwambia: ‘Kamata barua yako ya mapatano na uandike saki makumi nane.’


Yesu akaongeza kusema: “Nami ninawaambia: mutumie mali ya dunia hii kwa kuunga urafiki, kusudi wakati mali ile itakapokosekana, mupate kupokelewa kwenye makao ya milele.


Pale kulikuwa mitungi sita iliyotengenezwa kwa mawe iliyotumiwa na Wayuda kwa kutilia maji ya kujitakasa. Ndani ya kila mumoja kuliweza kuingia yapata litre mia moja za maji.


na kuiba vitu vyao. Lakini wajionyeshe kila mara kuwa waaminifu kamili, kusudi wapate kuheshimisha mafundisho juu ya Mungu Mwokozi wetu katika mambo yote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ