Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 16:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Na zaidi ya hii kuna shimo kubwa sana kati yetu na ninyi. Hivi wale wanaokuwa huku wakitaka kufika kule kwenu hawawezi, wala wale wanaokuwa kule hawawezi kuvuka kwa kufika huku kwetu.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 16:26
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hayo ndiyo yanayowapata wanaojitumainia kwa upumbafu, ndio mwisho wa wale wanaojivunia mali zao.


“Mufikiri vizuri jambo hili, enyi musionijali, kama sivyo nitawaangamiza, wala hakuna atakayewaokoa.


Mungu anasema: Mataifa jirani za Waisraeli ambayo yalikuwa yanawauzi hayataweza tena kuwaumiza Waisraeli kama vile kwa miiba na michongoma. Halafu watajua kwamba mimi ni Bwana wao Yawe.


Pale ndipo mutakapotambua tena tofauti inayokuwa kati ya wenye haki na waovu, kati ya mutu anayemutumikia Mungu na asiyemutumikia.


Halafu hawa watakwenda kwenye nafasi watakapoazibiwa kwa milele, lakini wenye haki wataingia kwenye uzima wa milele.”


Ninakuambia: hautatoka mule mpaka utakapomaliza kulipa sengi la mwisho.”


Lakini Abrahamu akamujibu: ‘Mutoto wangu, kumbuka kwamba umekwisha kupewa mema yaliyokupasa wakati ulipoishi katika dunia, na Lazaro alipata taabu. Na sasa yeye anatulizwa, lakini wewe unateswa.


Halafu tajiri akasema: ‘Basi, baba ninakuomba umutume Lazaro kwa nyumba ya baba yangu,


Anayemwamini Mwana yuko na uzima wa milele. Anayekataa kumwamini Mwana hatapata uzima; atakaa akipatwa na kasirani ya Mungu.”


Kisha yule Mwovu aliyewadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na lenye mawe ya kiberiti yanayowaka moto, pahali yule nyama wa ajabu na yule nabii wa uongo wanapokuwa. Nao watateswa muchana na usiku, milele na milele.


Mutu mubaya aendelee kufanya ubaya, na mutu muchafu azidi kuwa muchafu, na mutu mwema aendelee kutenda mema na mutu mutakatifu aendelee kuwa mutakatifu.”


Abigaili aliporudi kwake, alimukuta Nabali akifanya karamu kubwa katika nyumba yake kama ya kifalme. Nabali alikuwa akifurahi sana ndani ya moyo maana alikuwa amelewa sana. Kwa hiyo hakumwambia neno lolote mpaka asubui.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ