Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Luka 16:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Alipokuwa katika jehenamu akiteswa sana, akainua macho, akamwona Abrahamu kwa mbali na Lazaro akiwa pembeni yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Luka 16:23
26 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kweli wewe unanikinga na nguvu za kuzimu, haumwachi mutakatifu wako aone kaburi.


Wanaongozwa kama kondoo mpaka katika kuzimu; kifo ndiye muchungaji wao. Wanashuka moja kwa moja katika kaburi. Miili yao inaozea huko. Kuzimu inakuwa makao yao.


Wema wako kwangu ni mwingi sana! Umeniokoa kutoka katika kuzimu.


Yawe amejitambulisha; anatoa hukumu. Waovu wamenaswa kwa matendo yao wenyewe.


Njia ya mwenye hekima inaelekea juu kwenye uzima, kusudi aepuke kuingia chini katika kuzimu.


Miguu yake inaelekea chini kwenye kifo, hatua zake zinaenda kuzimu.


Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, ni pahali pa kuteremukia katika mauti.


Lakini mujinga hajui kwamba mule muna wafu, wageni wa mwanamuke yule wako chini katika kuzimu.


Lakini umeporomoshwa mpaka kuzimu; umeshushwa chini kabisa ndani ya shimo.


Kuzimu nako kumechangamuka, kusudi ya kukupokea wakati utakapokuja. Kunaiamusha mizimu ikuje kukusalimia na wote waliokuwa wakubwa wa dunia; kunawasimamisha kutoka kwenye viti vyao vya kifalme wote waliokuwa wafalme wa mataifa.


Nawe, muji Kapernaumu, unafikiri kwamba utapandishwa mpaka juu mbinguni? Utashushwa mpaka chini katika kuzimu. Kwa maana miujiza iliyofanyika ndani yako ingalifanyika katika Sodoma, muji ule ungekuwa ungali hata leo.


Na kama jicho lako likikukosesha, uliongoe na kulitupa mbali! Ni heri kwako kuingia pahali utakapopata uzima wa kweli ukikuwa na jicho moja kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa katika moto wa jehenamu.


Ninyi kikundi cha nyoka! Namna gani mutaweza kuepuka azabu ya jehenamu?


Lakini mimi ninawaambia: mutu yeyote anayemukasirikia ndugu yake anapaswa kuhukumiwa. Naye anayemwambia ndugu yake: ‘Hauna akili wewe!’ anapaswa kupelekwa kwenye tribinali kubwa. Naye anayemwambia: ‘Uko mwenda-wazimu!’ anastahili kutupwa katika jehenamu.


Basi kama jicho lako la kuume likikukosesha, uliongoe na kulitupa mbali. Ni heri kwako kupoteza kiungo chako kimoja kuliko mwili wako wote muzima kutupwa katika jehenamu.


Halafu wakaanza kulalamika wakisema: “Kuna maneno gani kati yako na sisi wewe Mwana wa Mungu? Umekuja hapa kwa kututesa mbele ya kutimia kwa wakati wetu?”


Basi akalalamika, akisema: ‘Baba Abrahamu, unisikilie huruma; umutume Lazaro achovye incha ya kidole chake katika maji, anipoleshe ulimi wangu, kwa sababu ninateswa sana katika moto huu.’


kwa maana niko na wandugu watano. Aende kuwaonya, kusudi nao vilevile wasikuje katika nafasi hii ya mateso.’


Wakati alipomwona Yesu, akalalamika na kuanguka mbele yake, na kusema kwa nguvu: “Yesu, Mwana wa Mungu Mukubwa, kuna neno kati yako na mimi? Ninakusihi, usinitese!”


“Ewe kifo, ushindi wako uko wapi? Ewe kifo, uwezo wako wa kuua uko wapi?”


Kwa maana Mungu hakuwahurumia wale wamalaika waliofanya zambi, lakini aliwatupa katika jehenamu. Wao wanalindwa mule wakifungwa minyororo katika giza nzito wakingojea Siku ile ya hukumu.


Kisha yule Mwovu aliyewadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na lenye mawe ya kiberiti yanayowaka moto, pahali yule nyama wa ajabu na yule nabii wa uongo wanapokuwa. Nao watateswa muchana na usiku, milele na milele.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ