Luka 16:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200215 Yesu akawaambia: “Ninyi ni watu wanaojionyesha kuwa wenye haki mbele ya watu, lakini Mungu anajua yanayokuwa ndani ya mioyo yenu. Kwa maana mambo yanayosifiwa na watu ni machukizo mbele ya Mungu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |